Nifate Twitter
Home
Archives for May 2017
Wednesday, 24 May 2017
Tuesday, 23 May 2017
Serikali kuhakiki elimu ya watumishi wake kwani wengi wao vilivyomo kichwani ni
Waziri wa elimu prof Ndalichako amesema serikali italazimika kupitia elimu za watumishi wake kwani wengi wao licha ya kua na vyeti vizuri lakini kilichomo vichwani mwao ni duni sana ukilinganisha na vyeti source waziri akiwa tbc. Kwa hali hii sasa kiukweli hakuna atakayebaki kazini.
Kama kweli waziri wa Elimu Prof. Ndalichako atayafanyia kazi haya ambayo ameyazungumza TBC mimi ninaimani kubwa sana watumishi wengi wataondoka kazini tena kwa idadi kubwa sana kupita hata wale wa vyeti feki, na hii inatokana na kuwa na elimu ambazo nizakupachikwa kwani ukimchukua mtu afanye kazi kutokana na elimu yake kiukweli ulimwingu utavurugika kwani wengi wao hawana ujuzi kabisa
Subscribe to:
Comments (Atom)
Sosial Media
Navigation List
Paling Dibaca
-
The captain of the national team who is also an international striker who play on Club KRC GENK in the Belgium Mbwana Samatta recently...
-
Nilipokuwa natoa mada kuhusu miaka 50 ya Azimio la Arusha niliongelea pia suala la umakini wa viongozi katika kauli zao. Kwamba Kiongo...
-
Mshambuliaji machachari wa Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, Yohana Nkomola, amegoma kujiunga na vilabu vya ndani y...
-
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ameagiza msanii Emmanuel Elibariki anayejulikana kama Nay wa mitego kuachiliwa huru ma wimbo ...
-
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea hati ya utambulisho ya mabalozi watano walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini. ...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe Mosi Mei, 2017 amesema Serikali ya Awamu ya tano imepan...
-
WANAWAKE:- Kwanini mwanaume anaweza kukukataza kufanya baadhi ya vitu? sababu ziko hapa. BOFYA HAPA NAFASI za kazi za UDEREVA 150Pos...
-
OPPORTUNITIES FOR A JOBS TBS (TANZANIA BUREAU OF STANDARDS) – (40Posts) 1. CHOKOCHOKO Wanaume wengi huwa hawapendi chokochoko. ...
-
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemtahadharisha Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilem...
Kategori
Formulir Kontak
copyright© 2016. Powered by Blogger.
























































