Nifate Twitter
Home
Archives for May 2017
Wednesday, 24 May 2017
Tuesday, 23 May 2017
Serikali kuhakiki elimu ya watumishi wake kwani wengi wao vilivyomo kichwani ni
Waziri wa elimu prof Ndalichako amesema serikali italazimika kupitia elimu za watumishi wake kwani wengi wao licha ya kua na vyeti vizuri lakini kilichomo vichwani mwao ni duni sana ukilinganisha na vyeti source waziri akiwa tbc. Kwa hali hii sasa kiukweli hakuna atakayebaki kazini.
Kama kweli waziri wa Elimu Prof. Ndalichako atayafanyia kazi haya ambayo ameyazungumza TBC mimi ninaimani kubwa sana watumishi wengi wataondoka kazini tena kwa idadi kubwa sana kupita hata wale wa vyeti feki, na hii inatokana na kuwa na elimu ambazo nizakupachikwa kwani ukimchukua mtu afanye kazi kutokana na elimu yake kiukweli ulimwingu utavurugika kwani wengi wao hawana ujuzi kabisa
Subscribe to:
Posts (Atom)
Sosial Media
Navigation List
Paling Dibaca
-
Mshambuliaji machachari wa Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, Yohana Nkomola, amegoma kujiunga na vilabu vya ndani y...
-
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemtahadharisha Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilem...
-
WANAWAKE:- Kwanini mwanaume anaweza kukukataza kufanya baadhi ya vitu? sababu ziko hapa. BOFYA HAPA NAFASI za kazi za UDEREVA 150Pos...
-
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea hati ya utambulisho ya mabalozi watano walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini. ...
-
< Bofya hapa kupata habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi. > ...
-
Uhamisho wa Paul Pogba kutoka Juventus kuelekea Manchester United uliovunja rekodi ya dunia sasa unachunguzwa na shirikisho la soka dun...
-
NAFASI ZA KAZI MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES (MUHAS). deadline July.. 105Posts Klabu ya Simba SC imetoa taarifa ...
-
BOFYA HAPA KUPATA NAFASI ZA KAZI BULWARK ASSOCIATES ADVOCATES (BAA) LIMITED (14Posts). Deadline August 5. Haya hapa Majin...
-
Uongozi wa uwanja wa CCM kirumba wa mkoani Mwanza umeweka wazi viingilio kwa mashabiki na wapenzi wa mpira wa miguu wanaotaka kuushuhudia...
Kategori
Formulir Kontak
copyright© 2016. Powered by Blogger.