Nifate Twitter
Home
Archives for May 2017
Wednesday, 24 May 2017
Tuesday, 23 May 2017
Serikali kuhakiki elimu ya watumishi wake kwani wengi wao vilivyomo kichwani ni
Waziri wa elimu prof Ndalichako amesema serikali italazimika kupitia elimu za watumishi wake kwani wengi wao licha ya kua na vyeti vizuri lakini kilichomo vichwani mwao ni duni sana ukilinganisha na vyeti source waziri akiwa tbc. Kwa hali hii sasa kiukweli hakuna atakayebaki kazini.
Kama kweli waziri wa Elimu Prof. Ndalichako atayafanyia kazi haya ambayo ameyazungumza TBC mimi ninaimani kubwa sana watumishi wengi wataondoka kazini tena kwa idadi kubwa sana kupita hata wale wa vyeti feki, na hii inatokana na kuwa na elimu ambazo nizakupachikwa kwani ukimchukua mtu afanye kazi kutokana na elimu yake kiukweli ulimwingu utavurugika kwani wengi wao hawana ujuzi kabisa
Subscribe to:
Posts (Atom)
Sosial Media
Navigation List
Paling Dibaca
-
The National Sports Council (BMT) has urged stakeholders in the various games in the country to stop addiction to rely on partners fr...
-
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemtahadharisha Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilem...
-
WANAWAKE:- Kwanini mwanaume anaweza kukukataza kufanya baadhi ya vitu? sababu ziko hapa. BOFYA HAPA NAFASI za kazi za UDEREVA 150Pos...
-
< Bofya hapa kupata habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi. > ...
-
Muzamiru Yassin ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Simba kwa mara ya pili msimu huu, na atapewa milioni 5 kama ilivyo desturi. ...
-
BOFYA HAPA Meneja wa Manchester United Jose Mourinho hamtaki Ronaldo kwa sababu anahisi kiwango chake kimean ..... KWA HABARI MBALI...
-
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea hati ya utambulisho ya mabalozi watano walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini. ...
-
Uhamisho wa Paul Pogba kutoka Juventus kuelekea Manchester United uliovunja rekodi ya dunia sasa unachunguzwa na shirikisho la soka dun...
-
Azam battalion this weekend this will be welcomed for Yanga on Premier League game that will hit on Saturday April the National Sta...
-
BOFYA HAPA KUPATA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KAMPUNI MBALIMBALI na TUMA MAOMBI YAKO. BOFYA HAPA KUPATA NAFASI ZA KAZ...
Kategori
Formulir Kontak
copyright© 2016. Powered by Blogger.