Nifate Twitter
Monday, 5 March 2018
Sunday, 8 October 2017
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE
Mkurugenzi Mtendaji (W)Makete kupitia kibali cha ajira mbadala kilichotolewa na
Katibu Mkuu - Utumishi Kumb. Na. CFC 26/205/01"FF" /91 anapenda
kuwatangazia Wananchi wote wenye sifa za kuajiriwa kuleta maombi yao yao kwa nafasi zifuatazo
MTENDAJI WA KIJIJI III - NAFASI 56
1.1. MAJUKUMUYA KAZI
(i) Kuwa Afisa Masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijiji
(ii) Kusimamia ulinzi na usalama.
(iii)Kusimamia utawala bora katika Kijiji
(iv)Kuwa katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya Kijiji
(v) Kutafsiri na kusimamia sera, sheria na taratibu zinazoongoza Serikali ya kijiji
(vi)Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za
Kijiji.
NGAZI YA MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara ya TGS B kwa mwezi.
SIFA ZAMWOMBAJI
Mhitimu wa kidato cha nne au sita waliohitimu mafunzo ya cheti katika moja ya
fani za Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa fedha, Maendeleo ya
Jamii au Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo cha Serikari za Mitaa Hombolo, Dodoma
au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
MASHARTIYA UJUMLA
(i)Mwombaji wote wawe ni raia wa Tanzania
(ii)Waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti cha kuzaliwa
(iii)Waombaji wote waambatanishe na maelezo binafsi (CV)
(iv)Waombaji waambatanishe picha 1 "Passport Size" ya hivi karibuni na
nakala za vyeti halisi.
(v)Transcript "Testmonials" na "Provisional Results" au Statement of Results
havitakubaliwa.
(vi)Mwombaji awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18.
(vii) Kwa waombaji ambao walishatuma maombi yao kupitia Tangazo la nafasi
sita za Watendaji wa Vijiji III la tarehe 28/08/2017 wasitume maombi kwa
kuwa barua zao zipo na zitatumika kwa ajili ya maombi ya kibali kilichotangazwa kupitia Tangazo hili.
6. MAOMBI YATUMWE KWA:
Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya ya Makete,
S.L.P.6,
Makete.
MWISHO WA KULETA MAOMBI
Maombi yawasilishwe kabla au mnamo tare he 17/10/2017 saa 9:30 Alasiri.
Maombi yatakayowasilishwa baada ya tare he na muda uliopangwa hayatafanyiwa kazi.
Friday, 22 September 2017
Tuesday, 12 September 2017
Subscribe to:
Posts (Atom)
Sosial Media
Navigation List
Paling Dibaca
-
The National Sports Council (BMT) has urged stakeholders in the various games in the country to stop addiction to rely on partners fr...
-
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemtahadharisha Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilem...
-
WANAWAKE:- Kwanini mwanaume anaweza kukukataza kufanya baadhi ya vitu? sababu ziko hapa. BOFYA HAPA NAFASI za kazi za UDEREVA 150Pos...
-
< Bofya hapa kupata habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi. > ...
-
Muzamiru Yassin ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Simba kwa mara ya pili msimu huu, na atapewa milioni 5 kama ilivyo desturi. ...
-
BOFYA HAPA Meneja wa Manchester United Jose Mourinho hamtaki Ronaldo kwa sababu anahisi kiwango chake kimean ..... KWA HABARI MBALI...
-
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amepokea hati ya utambulisho ya mabalozi watano walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini. ...
-
Uhamisho wa Paul Pogba kutoka Juventus kuelekea Manchester United uliovunja rekodi ya dunia sasa unachunguzwa na shirikisho la soka dun...
-
Azam battalion this weekend this will be welcomed for Yanga on Premier League game that will hit on Saturday April the National Sta...
-
BOFYA HAPA KUPATA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KAMPUNI MBALIMBALI na TUMA MAOMBI YAKO. BOFYA HAPA KUPATA NAFASI ZA KAZ...
Kategori
Formulir Kontak
copyright© 2016. Powered by Blogger.